4 Nawe unafungua, kwa kupenda kwako mwenyewe, kutoka katika fungu la urithi wako ambalo nilikuwa nimekupa.+ Mimi pia nitakufanya uwatumikie adui zako katika nchi ambayo hukuijua;+ kwa maana ninyi mmewashwa kama moto katika hasira yangu.+ Utaendelea kuwashwa mpaka wakati usio na kipimo.”