2 Wafalme 25:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Na mfalme wa Babiloni akawapiga na kuwaua+ kule Ribla katika nchi ya Hamathi.+ Hivyo Yuda wakaenda uhamishoni kutoka katika nchi yao.+ Zaburi 137:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 137 Kando ya mito ya Babiloni+—huko tuliketi.+Pia tulilia tulipokumbuka Sayuni.+
21 Na mfalme wa Babiloni akawapiga na kuwaua+ kule Ribla katika nchi ya Hamathi.+ Hivyo Yuda wakaenda uhamishoni kutoka katika nchi yao.+