Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 13:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Basi wakapanda na kuipeleleza nchi kutoka katika nyika ya Zini+ mpaka Rehobu+ mpaka mahali pa kuingilia pa Hamathi.+

  • Hesabu 34:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Kutoka Mlima Hori mtatia mpaka alama hadi mahali pa kuingilia pa Hamathi,+ na mwisho wa mpaka utakuwa Sedadi.+

  • 1 Wafalme 8:65
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 65 Na Sulemani akaifanya sherehe hiyo wakati huo,+ na Israeli wote pamoja naye, kutaniko kubwa+ kuanzia maingilio ya Hamathi+ kushuka mpaka kwenye bonde la mto la Misri,+ mbele za Yehova, Mungu wetu, siku saba na tena siku nyingine saba,+ siku kumi na nne.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki