65 Na Sulemani akaifanya sherehe hiyo wakati huo,+ na Israeli wote pamoja naye, kutaniko kubwa+ kuanzia maingilio ya Hamathi+ kushuka mpaka kwenye bonde la mto la Misri,+ mbele za Yehova, Mungu wetu, siku saba na tena siku nyingine saba,+ siku kumi na nne.