Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 34:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Kutoka Mlima Hori mtatia mpaka alama hadi mahali pa kuingilia pa Hamathi,+ na mwisho wa mpaka utakuwa Sedadi.+

  • Yoshua 13:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 na nchi ya Wagebali+ na Lebanoni yote upande wa mapambazuko ya jua, kuanzia Baal-gadi+ ulio chini ya Mlima Hermoni hadi maingilio ya Hamathi;+

  • 2 Wafalme 14:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Yeye ndiye aliyerudisha mpaka wa Israeli kutoka mwingilio wa Hamathi+ hadi kwenye bahari ya Araba,+ kulingana na neno la Yehova, Mungu wa Israeli, aliyesema kupitia Yona+ mtumishi wake, mwana wa Amitai, nabii aliyetoka Gath-heferi.+

  • Amosi 6:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Tazama! Mimi ninasimamisha taifa juu yenu,+ Ee nyumba ya Israeli,’ asema Yehova Mungu wa majeshi, ‘nao watawakandamiza ninyi kutoka maingilio ya Hamathi+ mpaka kwenye bonde la mto la Araba.’ ”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki