25 Yeye ndiye aliyerudisha mpaka wa Israeli kutoka mwingilio wa Hamathi+ hadi kwenye bahari ya Araba,+ kulingana na neno la Yehova, Mungu wa Israeli, aliyesema kupitia Yona+ mtumishi wake, mwana wa Amitai, nabii aliyetoka Gath-heferi.+
14 Tazama! Mimi ninasimamisha taifa juu yenu,+ Ee nyumba ya Israeli,’ asema Yehova Mungu wa majeshi, ‘nao watawakandamiza ninyi kutoka maingilio ya Hamathi+ mpaka kwenye bonde la mto la Araba.’ ”