Hesabu 13:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Basi wakapanda na kuipeleleza nchi kutoka katika nyika ya Zini+ mpaka Rehobu+ mpaka mahali pa kuingilia pa Hamathi.+ Hesabu 34:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Kutoka Mlima Hori mtatia mpaka alama hadi mahali pa kuingilia pa Hamathi,+ na mwisho wa mpaka utakuwa Sedadi.+ Ezekieli 47:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Hamathi,+ Berotha,+ Sibraimu, ulio katikati ya mpaka wa Damasko+ na mpaka wa Hamathi; Haser-hatikoni, ulio kuelekea upande wa mpaka wa Haurani.+ Amosi 6:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Tazama! Mimi ninasimamisha taifa juu yenu,+ Ee nyumba ya Israeli,’ asema Yehova Mungu wa majeshi, ‘nao watawakandamiza ninyi kutoka maingilio ya Hamathi+ mpaka kwenye bonde la mto la Araba.’ ”
21 Basi wakapanda na kuipeleleza nchi kutoka katika nyika ya Zini+ mpaka Rehobu+ mpaka mahali pa kuingilia pa Hamathi.+
8 Kutoka Mlima Hori mtatia mpaka alama hadi mahali pa kuingilia pa Hamathi,+ na mwisho wa mpaka utakuwa Sedadi.+
16 Hamathi,+ Berotha,+ Sibraimu, ulio katikati ya mpaka wa Damasko+ na mpaka wa Hamathi; Haser-hatikoni, ulio kuelekea upande wa mpaka wa Haurani.+
14 Tazama! Mimi ninasimamisha taifa juu yenu,+ Ee nyumba ya Israeli,’ asema Yehova Mungu wa majeshi, ‘nao watawakandamiza ninyi kutoka maingilio ya Hamathi+ mpaka kwenye bonde la mto la Araba.’ ”