Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 28:49
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 49 “Yehova atainua juu yako taifa la mbali, kutoka mwisho wa dunia,+ kama vile tai anavyorukia windo,+ taifa ambalo lugha yake hutaielewa,+

  • 2 Wafalme 15:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Katika siku za Peka mfalme wa Israeli, Tiglath-pileseri+ mfalme wa Ashuru+ aliingia na kuchukua Iyoni+ na Abel-beth-maaka+ na Yanoa na Kedeshi+ na Hasori+ na Gileadi+ na Galilaya,+ nchi yote ya Naftali,+ akawachukua na kuwapeleka uhamishoni katika Ashuru.+

  • 2 Wafalme 17:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Katika mwaka wa tisa wa Hoshea, mfalme wa Ashuru aliliteka Samaria+ kisha akapeleka Israeli uhamishoni+ katika Ashuru, akaendelea kuwakalisha katika Hala+ na katika Habori kando ya mto Gozani+ na katika majiji ya Wamedi.+

  • Isaya 7:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 “Katika siku hiyo, kwa kutumia wembe uliokodiwa katika eneo la ule Mto,+ kwa kumtumia mfalme wa Ashuru,+ Yehova atakinyoa kichwa na nywele za miguu, nao utafagilia mbali hata ndevu.+

  • Isaya 8:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 kwa maana kabla mvulana huyo hajajua jinsi ya kuita,+ ‘Baba yangu!’ na ‘Mama yangu!’ mtu fulani atachukulia mbali mali za Damasko na nyara za Samaria mbele ya mfalme wa Ashuru.”+

  • Isaya 10:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 “Aha, Mwashuru,+ fimbo ya hasira yangu,+ na kijiti kilicho mkononi mwao kwa ajili ya shutuma yangu!

  • Hosea 10:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Nayo itachukuliwa Ashuru na mtu fulani iwe zawadi kwa mfalme mkuu.+ Efraimu naye atapata aibu,+ na Israeli atalionea aibu shauri lake.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki