Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 2:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 “Watu wa nyumba ya Israeli wameona aibu kama ile ya mwizi ambaye amekamatwa,+ wao, wafalme wao, wakuu wao na makuhani wao na manabii wao.+

  • Yeremia 48:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Na Wamoabu wataona aibu kwa sababu ya Kemoshi,+ kama wale wa nyumba ya Israeli walivyoona aibu kwa sababu ya Betheli, uhakika wao.+

  • Ezekieli 36:32
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 Sifanyi jambo hili kwa ajili yenu,’+ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova, ‘na ijulikane kwenu. Mwone aibu na kufedheheka kwa sababu ya njia zenu, Ee nyumba ya Israeli.’+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki