Yeremia 2:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 “Watu wa nyumba ya Israeli wameona aibu kama ile ya mwizi ambaye amekamatwa,+ wao, wafalme wao, wakuu wao na makuhani wao na manabii wao.+ Yeremia 48:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Na Wamoabu wataona aibu kwa sababu ya Kemoshi,+ kama wale wa nyumba ya Israeli walivyoona aibu kwa sababu ya Betheli, uhakika wao.+ Ezekieli 36:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Sifanyi jambo hili kwa ajili yenu,’+ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova, ‘na ijulikane kwenu. Mwone aibu na kufedheheka kwa sababu ya njia zenu, Ee nyumba ya Israeli.’+
26 “Watu wa nyumba ya Israeli wameona aibu kama ile ya mwizi ambaye amekamatwa,+ wao, wafalme wao, wakuu wao na makuhani wao na manabii wao.+
13 Na Wamoabu wataona aibu kwa sababu ya Kemoshi,+ kama wale wa nyumba ya Israeli walivyoona aibu kwa sababu ya Betheli, uhakika wao.+
32 Sifanyi jambo hili kwa ajili yenu,’+ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova, ‘na ijulikane kwenu. Mwone aibu na kufedheheka kwa sababu ya njia zenu, Ee nyumba ya Israeli.’+