Ezekieli 36:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Lakini jueni jambo hili: Sifanyi hivyo kwa ajili yenu,’+ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova. ‘Badala yake, aibikeni na kufedheheka kwa sababu ya njia zenu, enyi watu wa nyumba ya Israeli.’
32 Lakini jueni jambo hili: Sifanyi hivyo kwa ajili yenu,’+ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova. ‘Badala yake, aibikeni na kufedheheka kwa sababu ya njia zenu, enyi watu wa nyumba ya Israeli.’