Ezekieli 36:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Sifanyi jambo hili kwa ajili yenu,’+ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova, ‘na ijulikane kwenu. Mwone aibu na kufedheheka kwa sababu ya njia zenu, Ee nyumba ya Israeli.’+
32 Sifanyi jambo hili kwa ajili yenu,’+ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova, ‘na ijulikane kwenu. Mwone aibu na kufedheheka kwa sababu ya njia zenu, Ee nyumba ya Israeli.’+