Isaya 7:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Kwa maana kabla ya mvulana huyo kujua jinsi ya kukataa lililo baya na kuchagua lililo jema,+ nchi ya wale wafalme wawili mnaowahofu na kuchukizwa kwa sababu yao itaachwa kabisa.+
16 Kwa maana kabla ya mvulana huyo kujua jinsi ya kukataa lililo baya na kuchagua lililo jema,+ nchi ya wale wafalme wawili mnaowahofu na kuchukizwa kwa sababu yao itaachwa kabisa.+