Isaya 28:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Kwa maana kwa njia ya wale wanaogugumiza kwa midomo yao+ na kwa lugha tofauti+ yeye atasema na watu hawa,+ Yeremia 5:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 “Tazama, ninaleta juu yenu taifa kutoka mbali,+ enyi nyumba ya Israeli,” asema Yehova. “Ni taifa linalodumu. Ni taifa la zamani za kale,+ taifa ambalo lugha yake hamwijui, nanyi hamwezi kusikia na kuelewa yale wanayosema.
11 Kwa maana kwa njia ya wale wanaogugumiza kwa midomo yao+ na kwa lugha tofauti+ yeye atasema na watu hawa,+
15 “Tazama, ninaleta juu yenu taifa kutoka mbali,+ enyi nyumba ya Israeli,” asema Yehova. “Ni taifa linalodumu. Ni taifa la zamani za kale,+ taifa ambalo lugha yake hamwijui, nanyi hamwezi kusikia na kuelewa yale wanayosema.