Yona 1:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 1 Neno la Yehova likaanza kumjia Yona+ mwana wa Amitai, na kusema: Mathayo 12:39 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 39 Akajibu, akawaambia: “Kizazi kiovu na chenye uzinzi+ kinaendelea kutafuta ishara, lakini hakuna ishara kitakachopewa isipokuwa ishara ya nabii Yona.+
39 Akajibu, akawaambia: “Kizazi kiovu na chenye uzinzi+ kinaendelea kutafuta ishara, lakini hakuna ishara kitakachopewa isipokuwa ishara ya nabii Yona.+