4 Kizazi kiovu na chenye uzinzi kinaendelea kutafuta ishara, lakini hakuna ishara ambayo kitapewa+ ila ile ishara ya Yona.”+ Ndipo akawaacha, akaenda zake.+
17 Yesu akajibu, akasema: “Enyi kizazi kisicho na imani na kilichopotoka,+ nitaendelea kuwa pamoja nanyi mpaka wakati gani? Nitawavumilia ninyi mpaka wakati gani? Mleteni hapa.”
38 Kwa maana mtu yeyote yule anayenionea aibu mimi na maneno yangu katika kizazi hiki chenye uzinzi na chenye dhambi, Mwana wa binadamu atamwonea aibu+ yeye pia atakapofika katika utukufu wa Baba yake pamoja na malaika watakatifu.”+
4 Enyi wazinzi,+ je, hamjui kwamba urafiki na ulimwengu ni uadui na Mungu?+ Kwa hiyo, yeyote anayetaka kuwa rafiki+ ya ulimwengu anajifanya kuwa adui ya Mungu.+