25 Yeye ndiye aliyerudisha mpaka wa Israeli kutoka mwingilio wa Hamathi+ hadi kwenye bahari ya Araba,+ kulingana na neno la Yehova, Mungu wa Israeli, aliyesema kupitia Yona+ mtumishi wake, mwana wa Amitai, nabii aliyetoka Gath-heferi.+
29 Umati walipokuwa wakisongamana pamoja, akaanza kusema: “Kizazi hiki ni kizazi kiovu; kinatafuta ishara.+ Lakini hakuna ishara ambayo kitapewa ila ishara ya Yona.+