Yeremia 52:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Na mfalme wa Babiloni akawapiga na kuwaua+ watu hao kule Ribla+ katika nchi ya Hamathi.+ Hivyo Yuda wakaenda uhamishoni kutoka katika nchi yao.+ Amosi 3:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 ‘Mimi nimewajua ninyi peke yenu+ kati ya familia zote za nchi.+ Hiyo ndiyo sababu nitawatoza ninyi hesabu kwa sababu ya makosa yenu yote.+
27 Na mfalme wa Babiloni akawapiga na kuwaua+ watu hao kule Ribla+ katika nchi ya Hamathi.+ Hivyo Yuda wakaenda uhamishoni kutoka katika nchi yao.+
2 ‘Mimi nimewajua ninyi peke yenu+ kati ya familia zote za nchi.+ Hiyo ndiyo sababu nitawatoza ninyi hesabu kwa sababu ya makosa yenu yote.+