Yeremia 13:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Lakini msiposikia jambo hilo,+ nafsi yangu italia na kutoa machozi katika mahali pa maficho kwa sababu ya kiburi nayo hakika itatoa machozi; na jicho langu litatiririka machozi,+ kwa sababu kundi+ la Yehova litakuwa limekwisha kuchukuliwa mateka. Maombolezo 1:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Nalia juu ya mambo hayo kama mwanamke.+ Jicho langu, jicho langu linatiririka maji.+Kwa maana mfariji amekuwa mbali sana nami, mtu wa kuiburudisha nafsi yangu.Wanangu wamefanywa ukiwa,+ kwa maana adui amejivuna sana.+ Danieli 9:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Nami nikaelekeza uso wangu+ kwa Yehova Mungu wa kweli, ili kumtafuta kwa sala+ na maombi, pamoja na kufunga na nguo za magunia na majivu.+
17 Lakini msiposikia jambo hilo,+ nafsi yangu italia na kutoa machozi katika mahali pa maficho kwa sababu ya kiburi nayo hakika itatoa machozi; na jicho langu litatiririka machozi,+ kwa sababu kundi+ la Yehova litakuwa limekwisha kuchukuliwa mateka.
16 Nalia juu ya mambo hayo kama mwanamke.+ Jicho langu, jicho langu linatiririka maji.+Kwa maana mfariji amekuwa mbali sana nami, mtu wa kuiburudisha nafsi yangu.Wanangu wamefanywa ukiwa,+ kwa maana adui amejivuna sana.+
3 Nami nikaelekeza uso wangu+ kwa Yehova Mungu wa kweli, ili kumtafuta kwa sala+ na maombi, pamoja na kufunga na nguo za magunia na majivu.+