Yeremia 9:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Laiti kichwa changu kingekuwa maji, na macho yangu yangekuwa chemchemi ya machozi!+ Ndipo ningelia usiku na mchana kwa ajili ya waliouawa wa binti ya watu wangu.+ Maombolezo 1:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Yeye hulia sana usiku,+ na machozi yake yako kwenye mashavuyake.+Hana yeyote wa kumfariji kati ya wapenzi wake wote.+Wenzake wote wamemtendea kwa hila.+ Wamekuwa adui kwake.+ Maombolezo 2:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Moyo wao umemlilia Yehova,+ Ee ukuta wa binti Sayuni.+Yatiririshe machozi kama mto mchana na usiku.+Usife ganzi. Mboni ya jicho lako isikae kimya.
9 Laiti kichwa changu kingekuwa maji, na macho yangu yangekuwa chemchemi ya machozi!+ Ndipo ningelia usiku na mchana kwa ajili ya waliouawa wa binti ya watu wangu.+
2 Yeye hulia sana usiku,+ na machozi yake yako kwenye mashavuyake.+Hana yeyote wa kumfariji kati ya wapenzi wake wote.+Wenzake wote wamemtendea kwa hila.+ Wamekuwa adui kwake.+
18 Moyo wao umemlilia Yehova,+ Ee ukuta wa binti Sayuni.+Yatiririshe machozi kama mto mchana na usiku.+Usife ganzi. Mboni ya jicho lako isikae kimya.