Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 9:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Laiti kichwa changu kingekuwa maji, na macho yangu yangekuwa chemchemi ya machozi!+ Ndipo ningelia usiku na mchana kwa ajili ya waliouawa wa binti ya watu wangu.+

  • Yeremia 13:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Lakini msiposikia jambo hilo,+ nafsi yangu italia na kutoa machozi katika mahali pa maficho kwa sababu ya kiburi nayo hakika itatoa machozi; na jicho langu litatiririka machozi,+ kwa sababu kundi+ la Yehova litakuwa limekwisha kuchukuliwa mateka.

  • Yeremia 14:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 “Nawe uwaambie neno hili, ‘Macho yangu na yatiririke machozi usiku na mchana wala yasitulie,+ kwa maana bikira, binti ya watu wangu, amevunjwa kwa mavunjiko makuu+ kwa pigo lenye ugonjwa.+

  • Maombolezo 1:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Nalia juu ya mambo hayo kama mwanamke.+ Jicho langu, jicho langu linatiririka maji.+

      Kwa maana mfariji amekuwa mbali sana nami, mtu wa kuiburudisha nafsi yangu.

      Wanangu wamefanywa ukiwa,+ kwa maana adui amejivuna sana.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki