Yeremia 8:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Huzuni isiyoweza kutibiwa imeniingia.+ Moyo wangu ni mgonjwa. Yeremia 9:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Laiti kichwa changu kingekuwa maji, na macho yangu yangekuwa chemchemi ya machozi!+ Ndipo ningelia usiku na mchana kwa ajili ya waliouawa wa binti ya watu wangu.+ Maombolezo 1:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Nalia juu ya mambo hayo kama mwanamke.+ Jicho langu, jicho langu linatiririka maji.+Kwa maana mfariji amekuwa mbali sana nami, mtu wa kuiburudisha nafsi yangu.Wanangu wamefanywa ukiwa,+ kwa maana adui amejivuna sana.+ Maombolezo 2:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Moyo wao umemlilia Yehova,+ Ee ukuta wa binti Sayuni.+Yatiririshe machozi kama mto mchana na usiku.+Usife ganzi. Mboni ya jicho lako isikae kimya.
9 Laiti kichwa changu kingekuwa maji, na macho yangu yangekuwa chemchemi ya machozi!+ Ndipo ningelia usiku na mchana kwa ajili ya waliouawa wa binti ya watu wangu.+
16 Nalia juu ya mambo hayo kama mwanamke.+ Jicho langu, jicho langu linatiririka maji.+Kwa maana mfariji amekuwa mbali sana nami, mtu wa kuiburudisha nafsi yangu.Wanangu wamefanywa ukiwa,+ kwa maana adui amejivuna sana.+
18 Moyo wao umemlilia Yehova,+ Ee ukuta wa binti Sayuni.+Yatiririshe machozi kama mto mchana na usiku.+Usife ganzi. Mboni ya jicho lako isikae kimya.