Yeremia 22:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 “‘Lakini ikiwa hamtayatii maneno haya, mimi ninaapa kwa nafsi yangu mwenyewe,’+ asema Yehova, ‘kwamba nyumba hii itakuwa ukiwa kabisa.’+ Malaki 2:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Ikiwa hamtasikiliza,+ na ikiwa hamtaiweka moyoni+ ili kulipa jina langu utukufu,”+ Yehova wa majeshi amesema, “mimi pia nitaleta juu yenu laana,+ nami nitazilaani baraka zenu.+ Ndiyo, hata nimeilaani baraka, kwa sababu hamwitii moyoni.”
5 “‘Lakini ikiwa hamtayatii maneno haya, mimi ninaapa kwa nafsi yangu mwenyewe,’+ asema Yehova, ‘kwamba nyumba hii itakuwa ukiwa kabisa.’+
2 Ikiwa hamtasikiliza,+ na ikiwa hamtaiweka moyoni+ ili kulipa jina langu utukufu,”+ Yehova wa majeshi amesema, “mimi pia nitaleta juu yenu laana,+ nami nitazilaani baraka zenu.+ Ndiyo, hata nimeilaani baraka, kwa sababu hamwitii moyoni.”