Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 23:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Mungu si mwanadamu kwamba aseme uwongo,+

      Wala si mwana wa binadamu kwamba ajute.+

      Je, yeye mwenyewe amelisema naye hatalitenda,

      Na je, yeye amesema naye hatalitimiza?+

  • Kumbukumbu la Torati 32:40
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 40 Kwa maana mimi nainua mkono wangu kuelekea mbinguni kwa kiapo,+

      Nami ninasema: “Kama nilivyo hai mpaka wakati usio na

      kipimo,”+

  • Amosi 6:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 “‘Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova ameapa kwa nafsi yake mwenyewe,’+ asema Yehova Mungu wa majeshi, ‘ “Mimi ninachukia kiburi cha Yakobo,+ na minara ya makao yake nimeichukia,+ nami nitalitoa hilo jiji na vitu vyote vinavyolijaza.+

  • Waebrania 6:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Vivyo hivyo Mungu, alipokusudia kuwaonyesha kwa wingi zaidi warithi+ wa ile ahadi kule kutobadilika+ kwa shauri lake, aliingilia kati kwa kiapo,

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki