Yeremia 51:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Yehova wa majeshi ameapa kwa nafsi yake mwenyewe,+ ‘Nitakujaza watu, kama nzige,+ nao hakika watapiga kelele kwa kukuimbia.’+ Amosi 4:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova ameapa kwa utakatifu wake,+ ‘ “Tazama! Kuna siku zinazokuja juu yenu, naye atawainua ninyi kwa kulabu za mchinjaji na sehemu yenu ya mwisho kwa ndoano.+ Waebrania 6:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Kwa maana Mungu alipoitoa ahadi yake kwa Abrahamu,+ kwa kuwa hangeweza kuapa kwa yeyote aliye mkubwa zaidi, aliapa+ kwa nafsi yake mwenyewe,
14 Yehova wa majeshi ameapa kwa nafsi yake mwenyewe,+ ‘Nitakujaza watu, kama nzige,+ nao hakika watapiga kelele kwa kukuimbia.’+
2 Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova ameapa kwa utakatifu wake,+ ‘ “Tazama! Kuna siku zinazokuja juu yenu, naye atawainua ninyi kwa kulabu za mchinjaji na sehemu yenu ya mwisho kwa ndoano.+
13 Kwa maana Mungu alipoitoa ahadi yake kwa Abrahamu,+ kwa kuwa hangeweza kuapa kwa yeyote aliye mkubwa zaidi, aliapa+ kwa nafsi yake mwenyewe,