Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 49:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 “Kwa maana nimeapa kwa nafsi yangu mwenyewe,”+ asema Yehova, “kwamba Bosra+ litakuwa kitu cha kushangaza,+ shutuma, uharibifu na laana tupu; na majiji yake yote yatakuwa mahali palipoharibiwa mpaka wakati usio na kipimo.”+

  • Amosi 6:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 “‘Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova ameapa kwa nafsi yake mwenyewe,’+ asema Yehova Mungu wa majeshi, ‘ “Mimi ninachukia kiburi cha Yakobo,+ na minara ya makao yake nimeichukia,+ nami nitalitoa hilo jiji na vitu vyote vinavyolijaza.+

  • Waebrania 6:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Kwa maana Mungu alipoitoa ahadi yake kwa Abrahamu,+ kwa kuwa hangeweza kuapa kwa yeyote aliye mkubwa zaidi, aliapa+ kwa nafsi yake mwenyewe,

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki