13 “Kwa maana nimeapa kwa nafsi yangu mwenyewe,”+ asema Yehova, “kwamba Bosra+ litakuwa kitu cha kushangaza,+ shutuma, uharibifu na laana tupu; na majiji yake yote yatakuwa mahali palipoharibiwa mpaka wakati usio na kipimo.”+
8 “‘Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova ameapa kwa nafsi yake mwenyewe,’+ asema Yehova Mungu wa majeshi, ‘ “Mimi ninachukia kiburi cha Yakobo,+ na minara ya makao yake nimeichukia,+ nami nitalitoa hilo jiji na vitu vyote vinavyolijaza.+