Obadia 18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Na nyumba ya Yakobo itakuwa moto,+ nyumba ya Yosefu itakuwa mwali wa moto, nyumba ya Esau itakuwa kama majani makavu;+ nao watayateketeza na kuyameza. Na hakutakuwapo waokokaji katika nyumba ya Esau;+ kwa maana Yehova mwenyewe amesema hayo. Malaki 1:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 naye Esau+ nikamchukia; mwishowe nikafanya milima yake kuwa ukiwa+ na urithi wake kuwa wa mbwa-mwitu wa nyikani.”+
18 Na nyumba ya Yakobo itakuwa moto,+ nyumba ya Yosefu itakuwa mwali wa moto, nyumba ya Esau itakuwa kama majani makavu;+ nao watayateketeza na kuyameza. Na hakutakuwapo waokokaji katika nyumba ya Esau;+ kwa maana Yehova mwenyewe amesema hayo.
3 naye Esau+ nikamchukia; mwishowe nikafanya milima yake kuwa ukiwa+ na urithi wake kuwa wa mbwa-mwitu wa nyikani.”+