Obadia 18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Nyumba ya Yakobo itakuwa moto,Nyumba ya Yosefu itakuwa mwali wa moto,Na nyumba ya Esau itakuwa kama majani makavu;Watayachoma moto na kuyateketeza,Na hakuna atakayeokoka katika nyumba ya Esau,+Kwa maana Yehova mwenyewe amesema. Obadia Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 18 “Kila Andiko,” kur. 151-152
18 Nyumba ya Yakobo itakuwa moto,Nyumba ya Yosefu itakuwa mwali wa moto,Na nyumba ya Esau itakuwa kama majani makavu;Watayachoma moto na kuyateketeza,Na hakuna atakayeokoka katika nyumba ya Esau,+Kwa maana Yehova mwenyewe amesema.