Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 34:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Haitazimwa wakati wa mchana wala wakati wa usiku; moshi wake utaendelea kupaa mpaka wakati usio na kipimo.+ Atakauka kutoka kizazi hata kizazi;+ milele na milele hakuna atakayevuka katikati yake.+

  • Yeremia 49:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Kwa hiyo sikieni shauri la Yehova ambalo ametunga juu ya Edomu,+ na mawazo yake ambayo amefikiri juu ya wakaaji wa Temani:+ Hakika wadogo wa kundi watakokotwa huku na huku. Hakika kwa sababu yao atayafanya makao yao kuwa ukiwa.+

  • Ezekieli 25:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 kwa hiyo Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema hivi: “Pia nitaunyoosha mkono wangu juu ya Edomu+ na kukatilia mbali kutoka kwake mwanadamu na mnyama wa kufugwa,+ nami nitapafanya kuwa ukiwa kutoka Temani,+ mpaka Dedani.+ Wataanguka kwa upanga.

  • Ezekieli 35:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Nawe utaliambia, ‘Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema hivi: “Mimi hapa niko dhidi yako, Ee eneo lenye milima la Seiri,+ nami nitaunyoosha mkono wangu juu yako+ na kukufanya uwe mahame, naam, kuwa ukiwa.+

  • Yoeli 3:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Nayo Misri itakuwa mahame yenye ukiwa;+ nayo Edomu itakuwa nyika ya mahame yenye ukiwa,+ kwa sababu ya jeuri kwa wana wa Yuda, ambao walimwaga damu isiyo na hatia katika nchi yao.+

  • Obadia 10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Kwa sababu ya jeuri uliyomtendea ndugu yako Yakobo,+ aibu itakufunika,+ nawe utakatiliwa mbali mpaka wakati usio na kipimo.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki