Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 33:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Shauri la Yehova litasimama milele;+

      Mawazo ya moyo wake ni kwa kizazi kimoja baada ya kizazi kingine.+

  • Methali 19:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Mna mipango mingi katika moyo wa mwanadamu,+ lakini shauri la Yehova ndilo litakalosimama.+

  • Isaya 46:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Yeye anayetangaza tangu mwanzo ule mwisho,+ na kutoka zamani za kale mambo ambayo hayajafanywa;+ Yeye anayesema, ‘Shauri langu mwenyewe litasimama,+ na kila jambo ambalo ni mapenzi yangu nitafanya’;+

  • Matendo 4:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 ili afanye mambo ambayo mkono wako na shauri viliagiza kimbele yatukie.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki