Zaburi 33:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Shauri la Yehova litasimama milele;+Mawazo ya moyo wake ni kwa kizazi kimoja baada ya kizazi kingine.+ Methali 19:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Mna mipango mingi katika moyo wa mwanadamu,+ lakini shauri la Yehova ndilo litakalosimama.+ Isaya 46:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Yeye anayetangaza tangu mwanzo ule mwisho,+ na kutoka zamani za kale mambo ambayo hayajafanywa;+ Yeye anayesema, ‘Shauri langu mwenyewe litasimama,+ na kila jambo ambalo ni mapenzi yangu nitafanya’;+ Matendo 4:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 ili afanye mambo ambayo mkono wako na shauri viliagiza kimbele yatukie.+
11 Shauri la Yehova litasimama milele;+Mawazo ya moyo wake ni kwa kizazi kimoja baada ya kizazi kingine.+
10 Yeye anayetangaza tangu mwanzo ule mwisho,+ na kutoka zamani za kale mambo ambayo hayajafanywa;+ Yeye anayesema, ‘Shauri langu mwenyewe litasimama,+ na kila jambo ambalo ni mapenzi yangu nitafanya’;+