10 Lakini Yehova alipendezwa kumponda;+ alimfanya kuwa mgonjwa.+ Ukiifanya nafsi yake kuwa toleo la hatia,+ atauona uzao wake,+ ataongeza siku zake,+ na mapendezi+ ya Yehova yatafanikiwa mkononi mwake.+
44 Sasa akawaambia: “Haya ndiyo maneno yangu niliyowaambia nilipokuwa ningali pamoja nanyi,+ kwamba mambo yote yaliyoandikwa katika sheria ya Musa na katika Manabii+ na Zaburi+ juu yangu lazima yatimizwe.”
23 mwanamume huyu, kama aliyetolewa kwa shauri lililoamuliwa na kwa ujuzi wa kimbele wa Mungu,+ mlimfunga kwenye mti kwa mkono wa waasi-sheria na kumwondolea mbali.+