Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 53:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Lakini Yehova alipendezwa kumponda;+ alimfanya kuwa mgonjwa.+ Ukiifanya nafsi yake kuwa toleo la hatia,+ atauona uzao wake,+ ataongeza siku zake,+ na mapendezi+ ya Yehova yatafanikiwa mkononi mwake.+

  • Luka 24:44
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 44 Sasa akawaambia: “Haya ndiyo maneno yangu niliyowaambia nilipokuwa ningali pamoja nanyi,+ kwamba mambo yote yaliyoandikwa katika sheria ya Musa na katika Manabii+ na Zaburi+ juu yangu lazima yatimizwe.”

  • Matendo 2:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 mwanamume huyu, kama aliyetolewa kwa shauri lililoamuliwa na kwa ujuzi wa kimbele wa Mungu,+ mlimfunga kwenye mti kwa mkono wa waasi-sheria na kumwondolea mbali.+

  • 1 Petro 1:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Ni kweli, yeye alijulikana kimbele kabla ya kuwekwa msingi+ wa ulimwengu, lakini alifunuliwa mwishoni mwa nyakati kwa ajili yenu+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki