Yeremia 49:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 “Na Edomu atakuwa kitu cha kushangaza.+ Kila mtu anayepita kando yake atatazama kwa mshangao na kupiga mluzi kwa sababu ya mapigo yake yote.+ Ezekieli 25:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 kwa hiyo Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema hivi: “Pia nitaunyoosha mkono wangu juu ya Edomu+ na kukatilia mbali kutoka kwake mwanadamu na mnyama wa kufugwa,+ nami nitapafanya kuwa ukiwa kutoka Temani,+ mpaka Dedani.+ Wataanguka kwa upanga.
17 “Na Edomu atakuwa kitu cha kushangaza.+ Kila mtu anayepita kando yake atatazama kwa mshangao na kupiga mluzi kwa sababu ya mapigo yake yote.+
13 kwa hiyo Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema hivi: “Pia nitaunyoosha mkono wangu juu ya Edomu+ na kukatilia mbali kutoka kwake mwanadamu na mnyama wa kufugwa,+ nami nitapafanya kuwa ukiwa kutoka Temani,+ mpaka Dedani.+ Wataanguka kwa upanga.