Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wafalme 9:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Na nyumba hii itakuwa marundo ya mabomoko.+ Kila mtu anayepita kando yake atatazama kwa mshangao+ naye atapiga mluzi na kusema, ‘Kwa sababu gani Yehova aliitendea hivi nchi hii na nyumba hii?’+

  • Yeremia 51:37
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 37 Na Babiloni atakuwa marundo ya mawe,+ pango la mbwa-mwitu,+ kitu cha kushangaza na kitu cha kupigiwa mluzi, bila mkaaji.+

  • Sefania 2:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Hilo ndilo jiji lenye furaha lililokuwa likikaa kwa usalama,+ ambalo lilikuwa linasema moyoni mwake, ‘Mimi ndiye, wala hakuna mwingine yeyote.’+ Lo! Jinsi amekuwa kitu cha kushangaza, mahali pa wanyama-mwitu kulala wakiwa wamejinyoosha! Kila mtu anayepita kando yake atapiga mluzi; atatikisa mkono wake.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki