Isaya 22:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Ulijaa machafuko, jiji lenye msukosuko, mji wenye furaha.+ Watu wako waliouawa hawakuuawa kwa upanga, wala hawakufa vitani.+ Isaya 47:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Nawe uliendelea kusema: “Mpaka wakati usio na kipimo mimi nitakuwa Bimkubwa,+ milele.” Hukuweka mambo haya moyoni mwako; hukukumbuka mwisho wa jambo hilo.+ Nahumu 3:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Ole wake jiji la umwagaji wa damu.+ Limejaa udanganyifu na unyang’anyi. Mawindo hayaondoki!
2 Ulijaa machafuko, jiji lenye msukosuko, mji wenye furaha.+ Watu wako waliouawa hawakuuawa kwa upanga, wala hawakufa vitani.+
7 Nawe uliendelea kusema: “Mpaka wakati usio na kipimo mimi nitakuwa Bimkubwa,+ milele.” Hukuweka mambo haya moyoni mwako; hukukumbuka mwisho wa jambo hilo.+