13 Juu ya udongo wa watu wangu inatokea miiba mitupu,+ vichaka vyenye miiba, kwa maana viko juu ya nyumba zote zenye furaha, ndiyo, mji uliochangamka sana.+
6 ambao mnakunywa kwa mabakuli ya divai,+ na ambao mnatia mafuta kwa kutumia mafuta yenu yaliyo bora kabisa,+ na ambao hamkuwa wagonjwa kutokana na msiba wa Yosefu.+