Zaburi 107:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Nchi yenye kuzaa iwe nchi ya chumvi,+Kwa sababu ya ubaya wa wale wanaokaa humo. Isaya 5:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Nami nitaliweka kuwa kitu kilichoangamizwa.+ Nalo halitapunguzwa matawi, wala halitalimwa.+ Nalo litamea vichaka vya miiba na magugu;+ nami nitayaamuru mawingu yasinyeshe mvua yoyote juu yake.+
6 Nami nitaliweka kuwa kitu kilichoangamizwa.+ Nalo halitapunguzwa matawi, wala halitalimwa.+ Nalo litamea vichaka vya miiba na magugu;+ nami nitayaamuru mawingu yasinyeshe mvua yoyote juu yake.+