23 “Na itatukia katika siku hiyo kwamba kila mahali palipokuwa na mizabibu elfu moja, yenye thamani ya vipande elfu moja vya fedha,+ patakuwa—kwa ajili ya vichaka vya miiba na kwa ajili ya magugu.+
13 Juu ya udongo wa watu wangu inatokea miiba mitupu,+ vichaka vyenye miiba, kwa maana viko juu ya nyumba zote zenye furaha, ndiyo, mji uliochangamka sana.+