Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 5:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Nami nitaliweka kuwa kitu kilichoangamizwa.+ Nalo halitapunguzwa matawi, wala halitalimwa.+ Nalo litamea vichaka vya miiba na magugu;+ nami nitayaamuru mawingu yasinyeshe mvua yoyote juu yake.+

  • Isaya 32:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Juu ya udongo wa watu wangu inatokea miiba mitupu,+ vichaka vyenye miiba, kwa maana viko juu ya nyumba zote zenye furaha, ndiyo, mji uliochangamka sana.+

  • Yeremia 4:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Niliona, na, tazama! shamba la matunda lilikuwa nyika, na majiji yake yote yalikuwa yamebomolewa.+ Ilikuwa kwa sababu ya Yehova, kwa sababu ya hasira yake inayowaka.

  • Waebrania 6:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Lakini ukizaa miiba na mibaruti, hukataliwa na huwa karibu kulaaniwa;+ nao mwisho wake huchomwa.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki