13 Juu ya udongo wa watu wangu inatokea miiba mitupu,+ vichaka vyenye miiba, kwa maana viko juu ya nyumba zote zenye furaha, ndiyo, mji uliochangamka sana.+
26 Niliona, na, tazama! shamba la matunda lilikuwa nyika, na majiji yake yote yalikuwa yamebomolewa.+ Ilikuwa kwa sababu ya Yehova, kwa sababu ya hasira yake inayowaka.