7 “ ‘Mimi pia, nilizuia mvua isiwanyeshee ninyi kukiwa kungali miezi mitatu kabla ya mavuno;+ nami nikainyesha katika jiji moja, lakini jiji lingine sikuinyesha. Kuna sehemu moja ya shamba ambayo ilinyeshewa, lakini sehemu ya shamba ambayo sikuinyeshea ilikauka.+