Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 26:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Nami nitakivunja kiburi cha nguvu zenu na kuzifanya mbingu zenu ziwe kama chuma+ na nchi yenu iwe kama shaba.

  • Kumbukumbu la Torati 11:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 na hasira ya Yehova iwake juu yenu, naye afunge mbingu hivi kwamba mvua yoyote isitokee+ nayo nchi isitoe mazao yake nanyi mwangamie haraka kutoka katika nchi nzuri ambayo Yehova anawapa ninyi.+

  • 1 Wafalme 8:35
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 35 “Mbingu ikifungwa hivi kwamba hakuna mvua inayonyesha,+ kwa sababu waliendelea kukutendea dhambi,+ nao kwa kweli wasali kuelekea mahali hapa+ na kulisifu jina lako, nao wageuke kutoka katika dhambi yao, kwa sababu uliendelea kuwatesa,+

  • 1 Wafalme 17:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Na Eliya+ Mtishbi kutoka kwa wakaaji wa Gileadi+ akamwambia Ahabu: “Kama anavyoishi+ Yehova Mungu wa Israeli, ambaye ninasimama mbele zake,+ miaka hii hakutakuwa na umande wala mvua,+ isipokuwa kwa agizo la neno langu!”+

  • Yeremia 14:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Kwa sababu ya udongo ambao umepasuka-pasuka kwa maana hakujakuwako mvua juu ya nchi,+ wakulima wameona aibu; wamekifunika kichwa chao.+

  • Amosi 4:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 “ ‘Mimi pia, nilizuia mvua isiwanyeshee ninyi kukiwa kungali miezi mitatu kabla ya mavuno;+ nami nikainyesha katika jiji moja, lakini jiji lingine sikuinyesha. Kuna sehemu moja ya shamba ambayo ilinyeshewa, lakini sehemu ya shamba ambayo sikuinyeshea ilikauka.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki