15 Kokote walikoenda, mkono wa Yehova ulikuwa juu yao ili kuwaletea msiba,+ kama vile Yehova alivyokuwa amesema na kama vile Yehova alivyokuwa amewaapia;+ nao wakawa katika dhiki kali sana.+
30 “ ‘Kwa hiyo nitawahukumu ninyi kila mmoja kulingana na njia yake,+ Ee nyumba ya Israeli,’ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova.+ ‘Geukeni, naam, geukeni na kuyaacha makosa yenu yote,+ na chochote kisiwe kwenu kikwazo kinachosababisha kosa.+