Kumbukumbu la Torati 4:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Utakapokuwa katika dhiki kali na maneno yote haya yawe yamekupata mwishoni mwa siku hizo, basi utarudi kwa Yehova Mungu+ wako na kuisikiliza sauti yake.+ Waamuzi 10:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Na wana wa Amoni wakawa wakivuka Yordani ili kupigana na Yuda na Benyamini na nyumba ya Efraimu; na Israeli walikuwa katika taabu kubwa sana.+
30 Utakapokuwa katika dhiki kali na maneno yote haya yawe yamekupata mwishoni mwa siku hizo, basi utarudi kwa Yehova Mungu+ wako na kuisikiliza sauti yake.+
9 Na wana wa Amoni wakawa wakivuka Yordani ili kupigana na Yuda na Benyamini na nyumba ya Efraimu; na Israeli walikuwa katika taabu kubwa sana.+