25 “Ikiwa utakuwa baba ya wana na wajukuu nanyi mmekaa muda mrefu katika nchi na kutenda kwa uharibifu+ na kufanya sanamu ya kuchongwa,+ umbo la kitu chochote, na kufanya uovu machoni pa Yehova Mungu+ wako na kumtia uchungu,
26 leo nachukua mbingu na dunia ili ziwe mashahidi dhidi yenu,+ ya kwamba hakika mtaangamia haraka kutoka katika nchi ambayo mnavuka Yordani ili mwimiliki. Hamtarefusha siku zenu juu yake, kwa sababu hakika mtaangamizwa.+
4 Kwa maana atamgeuza mwana wako aache kunifuata, nao watatumikia miungu mingine;+ na hasira ya Yehova itawaka kwelikweli juu yenu, naye hakika atakuangamiza haraka.+