Waamuzi 2:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Popote walipoenda, mkono wa Yehova uliwapinga na kuwaletea msiba,+ kama Yehova alivyokuwa amesema na kama Yehova alivyokuwa amewaapia,+ nao wakateseka sana.+
15 Popote walipoenda, mkono wa Yehova uliwapinga na kuwaletea msiba,+ kama Yehova alivyokuwa amesema na kama Yehova alivyokuwa amewaapia,+ nao wakateseka sana.+