8 “Wakati huo Yehova alitenga kabila la Lawi+ ili lichukue sanduku la agano la Yehova,+ lisimame mbele za Yehova ili kumhudumia+ na kubariki katika jina lake mpaka leo hii.+
19 Malaika akamjibu akamwambia: “Mimi ni Gabrieli,+ anayesimama karibu mbele za Mungu, nami nilitumwa kusema+ na wewe na kukutangazia habari njema ya mambo hayo.