14 Naye Elisha akasema: “Kama anavyoishi Yehova wa majeshi+ ambaye ninasimama mbele zake, kama haingekuwa kwamba ninaufikiria uso wa Yehoshafati mfalme wa Yuda,+ nisingekutazama wala kukuona wewe.+
16 “Na itatukia kwamba ikiwa kwa hakika watajifunza njia za watu wangu katika kuapa kwa jina langu,+ ‘Kama anavyoishi Yehova!’ kama walivyowafundisha watu wangu kuapa kwa Baali,+ wao pia watajengwa katikati ya watu wangu.+