Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 6:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Unapaswa kumwogopa Yehova Mungu wako,+ nawe unapaswa kumtumikia yeye,+ nawe unapaswa kuapa kwa jina lake.+

  • 1 Samweli 19:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Ndipo Sauli akaitii sauti ya Yonathani, na Sauli akaapa: “Kama Yehova anavyoishi,+ yeye hatauawa.”

  • 1 Wafalme 22:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Lakini Mikaya akasema: “Kama Yehova anavyoishi,+ lile ambalo Yehova ataniambia, hilo ndilo nitakalosema.”+

  • 2 Wafalme 3:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Naye Elisha akasema: “Kama anavyoishi Yehova wa majeshi+ ambaye ninasimama mbele zake, kama haingekuwa kwamba ninaufikiria uso wa Yehoshafati mfalme wa Yuda,+ nisingekutazama wala kukuona wewe.+

  • Yeremia 12:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 “Na itatukia kwamba ikiwa kwa hakika watajifunza njia za watu wangu katika kuapa kwa jina langu,+ ‘Kama anavyoishi Yehova!’ kama walivyowafundisha watu wangu kuapa kwa Baali,+ wao pia watajengwa katikati ya watu wangu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki