2 Wafalme 3:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Elisha akamwambia: “Kwa hakika kama anavyoishi Yehova wa majeshi ambaye ninamtumikia,* kama singekuwa ninamheshimu Mfalme Yehoshafati+ wa Yuda, singekutazama wala kukutilia maanani.+
14 Elisha akamwambia: “Kwa hakika kama anavyoishi Yehova wa majeshi ambaye ninamtumikia,* kama singekuwa ninamheshimu Mfalme Yehoshafati+ wa Yuda, singekutazama wala kukutilia maanani.+