Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 22:35
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 35 Lakini malaika wa Yehova akamwambia Balaamu: “Nenda pamoja na wanaume hao;+ nawe hutasema lolote isipokuwa lile neno nitakalokuambia.”+ Naye Balaamu akaendelea kwenda pamoja na wakuu wa Balaki.

  • 2 Mambo ya Nyakati 18:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Lakini Mikaya akasema: “Kama Yehova anavyoishi,+ lile ambalo Mungu wangu atasema, hilo ndilo nitakalosema.”+

  • Yeremia 1:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Na Yehova akaendelea kuniambia: “Usiseme, ‘Mimi ni mvulana tu.’ Lakini kwa wale wote nitakaokutuma kwao, unapaswa kwenda; na kila jambo nitakalokuamuru, unapaswa kusema.+

  • Yeremia 23:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Nabii ambaye ana ndoto, na asimulie ndoto hiyo; lakini yule ambaye ana neno langu, na aliseme neno langu kwa ukweli.”+

      “Nyasi ina uhusiano gani na nafaka?”+ asema Yehova.

  • Ezekieli 2:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Na wana wenye uso wa dharau+ na wenye moyo mgumu+—ninakutuma wewe kwao, nawe lazima utawaambia, ‘Hivi ndivyo Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema.’

  • 2 Petro 1:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Kwa maana unabii haukuletwa wakati wowote kwa mapenzi ya mwanadamu,+ bali wanadamu walisema yaliyotoka kwa Mungu+ kama walivyoongozwa na roho takatifu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki