35 Lakini malaika wa Yehova akamwambia Balaamu: “Nenda pamoja na wanaume hao;+ nawe hutasema lolote isipokuwa lile neno nitakalokuambia.”+ Naye Balaamu akaendelea kwenda pamoja na wakuu wa Balaki.
7 Na Yehova akaendelea kuniambia: “Usiseme, ‘Mimi ni mvulana tu.’ Lakini kwa wale wote nitakaokutuma kwao, unapaswa kwenda; na kila jambo nitakalokuamuru, unapaswa kusema.+
21 Kwa maana unabii haukuletwa wakati wowote kwa mapenzi ya mwanadamu,+ bali wanadamu walisema yaliyotoka kwa Mungu+ kama walivyoongozwa na roho takatifu.+