Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yoshua 11:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Kwa kuwa hiyo ndiyo iliyokuwa njia ya Yehova ya kutenda, kuacha mioyo yao iwe migumu+ ili watangaze vita juu ya Israeli, kusudi awaangamize, ili wasipate kibali,+ bali ili yeye apate kuwaangamiza, kama vile Yehova alivyokuwa amemwamuru Musa.+

  • Zaburi 95:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Msiufanye moyo wenu kuwa mgumu kama huko Meriba,+

      Kama katika ile siku ya Masa, nyikani,+

  • Ezekieli 3:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Lakini nyumba ya Israeli, hawatataka kukusikiliza wewe, kwa maana hawataki kunisikiliza mimi;+ kwa sababu wote hao wa nyumba ya Israeli wana vichwa vigumu na mioyo migumu.+

  • Waebrania 3:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 huku ikisemwa: “Leo ikiwa mtaisikiliza sauti yake,+ msiifanye mioyo yenu kuwa migumu kama ule wakati wa kusababisha hasira kali.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki