Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 34:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Kisha akasema: “Ikiwa, sasa, nimepata kibali machoni pako, Ee Yehova, tafadhali, Yehova na aende pamoja nasi katikati yetu,+ kwa sababu ni watu wenye shingo ngumu,+ nawe utusamehe kosa letu na dhambi yetu,+ nawe utuchukue tuwe mali yako.”+

  • Nehemia 9:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 “Nao wenyewe, mababu zetu, wakatenda kwa kimbelembele+ na kufanya shingo zao kuwa ngumu,+ wala hawakusikiliza amri zako.

  • Yeremia 3:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Kwa hiyo manyunyu mengi yamezuiwa,+ na hata mvua ya masika haikunyesha.+ Nawe umekuwa na paji la uso la mke anayefanya ukahaba. Umekataa kufedheheka.+

  • Yeremia 5:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Ee Yehova, je, macho yako hayaangalii uaminifu?+ Umewapiga,+ lakini hawakuwa wagonjwa.+ Uliwaangamiza.+ Walikataa kukubali nidhamu.+ Walizifanya nyuso zao kuwa ngumu kuliko mwamba.+ Walikataa kurudi.+

  • Yeremia 7:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Lakini hawakunisikiliza, nao hawakutega sikio lao,+ bali waliendelea kufanya shingo yao kuwa ngumu.+ Walitenda vibaya zaidi kuliko mababu zao!+

  • Ezekieli 2:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Na wana wenye uso wa dharau+ na wenye moyo mgumu+—ninakutuma wewe kwao, nawe lazima utawaambia, ‘Hivi ndivyo Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema.’

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki