Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 33:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Na Yehova akaendelea kusema na Manase na watu wake, lakini hawakusikiliza.+

  • Yeremia 11:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Lakini hawakusikiliza wala kutega sikio lao,+ bali wakaendelea kutembea kila mmoja katika ukaidi wa moyo wake mbaya;+ na kwa hiyo nikaleta juu yao maneno yote ya agano hili nililowaamuru kufanya, lakini hawakufanya.’”

  • Yeremia 17:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 lakini hawakusikiliza wala kutega sikio lao,+ nao wakafanya shingo+ yao kuwa ngumu ili wasisikie na ili wasipokee nidhamu.”’+

  • Yeremia 25:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 “Tangu mwaka wa 13 wa Yosia+ mwana wa Amoni, mfalme wa Yuda, mpaka leo hii, miaka hii 23, neno la Yehova limenijia, nikaendelea kusema nanyi, nikiamka mapema na kusema, lakini hamkusikiliza.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki