Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 17:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 nao hawakusikiliza lakini wakaendelea kufanya shingo zao kuwa ngumu+ kama shingo za mababu zao ambao hawakuonyesha imani+ katika Yehova Mungu wao;

  • Nehemia 9:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Kwa hiyo wakakataa kusikiliza,+ wala hawakuyakumbuka+ matendo yako ya ajabu ambayo ulikuwa umewafanyia, bali wakafanya shingo zao kuwa ngumu+ na kujichagulia mkuu+ ili kurudi kwenye hali yao ya utumwa katika Misri. Lakini wewe ni Mungu wa matendo ya kusamehe,+ mwenye neema+ na rehema,+ si mwepesi wa hasira+ na ni mwingi+ wa fadhili zenye upendo, nawe hukuwaacha.+

  • Methali 29:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Mtu anayekaripiwa+ tena na tena lakini anayeifanya shingo yake kuwa ngumu+ atavunjika ghafula, na hivyo pasipo kuponywa.+

  • Yeremia 19:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 “Yehova wa majeshi, Mungu wa Israeli, amesema hivi, ‘Tazama, ninaleta juu ya jiji hili na juu ya majiji yake yote msiba wote ambao nimesema juu yake, kwa sababu wamefanya shingo yao kuwa ngumu ili wasiyatii maneno yangu.’”+

  • Waroma 2:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Lakini kulingana na ugumu+ wako na moyo wako usiotubu+ unajiwekea mwenyewe akiba ya ghadhabu+ katika siku ya ghadhabu+ na ya kufunuliwa+ kwa hukumu ya uadilifu ya Mungu.+

  • Waroma 10:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Lakini kwa habari ya Israeli yeye anasema: “Mchana kutwa nimewanyooshea mikono yangu watu wasiotii+ na wanaojibu kwa ujeuri.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki