Kumbukumbu la Torati 31:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Kwa maana mimi—mimi najua vema uasi+ wenu na shingo yenu ngumu.+ Ikiwa wakati ambapo ningali hai pamoja nanyi leo, mmekuwa wenye tabia ya kumwasi Yehova,+ itakuwaje basi baada ya kifo changu! Yeremia 5:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 “Je, nisitoze hesabu kwa sababu ya mambo hayo,” asema Yehova, “au, je, nafsi yangu isijilipizie kisasi juu ya taifa ambalo liko hivyo?+
27 Kwa maana mimi—mimi najua vema uasi+ wenu na shingo yenu ngumu.+ Ikiwa wakati ambapo ningali hai pamoja nanyi leo, mmekuwa wenye tabia ya kumwasi Yehova,+ itakuwaje basi baada ya kifo changu!
29 “Je, nisitoze hesabu kwa sababu ya mambo hayo,” asema Yehova, “au, je, nafsi yangu isijilipizie kisasi juu ya taifa ambalo liko hivyo?+